matukio mengine yanafata..
USIKOSE KUPITIA KAGERAKWETU MAGAZINE BLOG KUPATA MATUKIO MBALIMBALI KATISA SIASA,MICHEZO,UDAKU,UCHUMI ,UTALII NA UTAMADUNI.KWA MAWASILIANO ZAIDI 0764 179271
Sunday, June 16, 2013
MARIA TUBETI ATWAA TAJI LA REDD'S MISS KAGERA 2013
Mshindi wa taji la Redds Miss Kagera 2013 Maria Tubeti
(Katikati) akiwa na nyuso ya furaha mara baada ya kamati ya majaji
kumtangaza mshindi katika kinyanganyiro kilichoshirikisha walimbwendwe
14, Wa pili ni Hilda Athanas na mshindi wa tatu ni Arodia Mahatane
Mshindi
wa taji la Redds Miss Kagera 2013 Maria Tubeti akifurahia kutwaa taji
hilo lililokuwa limeshikiliwa na Miss Talent Tanzania Babylove Kalalaa
aliyeshinda mwaka jana 2012.
Eeeee jamani Hongera kwa kushinda...
Warembo wote 14 wa Redd's Miss kagera 2013 wakitambulishwa

Washiriki wa Shindano la redd's miss Kagera 14 wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Majaji
walianza kutaja Tano Bora hapa.(Kutoka kulia ni jaji Abella Kamala
mtangazaji wa Radio Kasibante fm, jaji wa katikati ni Bi Beata na wa
kushoto ni Jaji Edgar)
Tano Bora
Maria Tubeti akijibu swali
Warembo waliochagulia tano bara wakiwa na tabasamu baada ya kutajwa na kusonga mbele
Miss aliyeachia taji lake leo hii ambaye pia ni Miss Talent Tanzania Babylove Kalalaa
Majaji wakitaja Mshindi wa tatu, wa pili na ..


Jaji Bi. Beata akitaja mshindi wa Redd's miss kagera..
Miss
anayeachia taji Babylove Kalalaa na Miss Redd's Kagera 2013 Maria
Tubeti wakikumbatiana kupongezana baada ya kuwabwaga wenzie 14 usiku huu
kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club.
Warembo kwenye Pozi..(kushoto) ni Miss Redd's Belinda Rupenda aliyeshinda Talent
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment