USIKOSE KUPITIA KAGERAKWETU MAGAZINE BLOG KUPATA MATUKIO MBALIMBALI KATISA SIASA,MICHEZO,UDAKU,UCHUMI ,UTALII NA UTAMADUNI.KWA MAWASILIANO ZAIDI 0764 179271
Tuesday, May 14, 2013
UPDATE: WANAFUNZI WA SHULE YA MANZESE WAMEPAGAWA NA "MAPEPO"....30 WAMEANGUSHWA CHINI MUDA HUU....
Wanafunzi
wa shule ya secondary manzese zaidi ya 30 muda huu wanaanguka hovyo na
kusema a maneno yasiyoeleweka kutokana na kinachohisiwa kuna nguvu za
Giza zimetanda shuleni hapo huku wakijibamiza kwenye miti:
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese aliyeanguka na kuweweseka.
Mpaka sasa haijafahamika chanzo cha wanafunzi wa shule hiyo kukimbia ovyo,kuanguka na kuweweseka. Wadau wa mambo ya giza wanadai ni NGUVU ZA KICHAWI
No comments:
Post a Comment