Mahakama
Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo lina dhamana.
habari zaidi tutazidi kuwajulisha muda mfupi ujao
No comments:
Post a Comment